UTAMU WA PILIPLI HOHO

  • Home
  • HABARI
  • WASANII
  • SPORTS
    • FOOTBALL
    • MPIRA WA MIGUU
    • BASKETBALL
  • LOVE
    • LOVE
    • MAPENZI
  • SIASA
  • GOSSIP
  • Download This Template
Home » MAPENZI » TAZAMA kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa

TAZAMA kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa

Written By MWAYANGASPORTS on Monday, 2 March 2015 | 14:02



Je wajua kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa ?
Katika majarida mengi umewaona wanaume wakikodolea macho picha za wanawake wenye makalio makubwa iwe ni kim Kardashian, Jenipher Lopez Nicki Minaj na Vera Sidika kutoka Kenya .
Sasa basi Utafiti umedhibitisha kuwa ni kweli wanaume wanapenda wanawake waliojaaliwa sehemu ya nyuma.
Kulingana na utafiti wa chuo kikuu Bilkent , chuo kikuu cha Texas, na chuo kikuu cha American University kilichoko mjini Beirut
Wanaume wanakisia kuwa mwanamke mwenye makalio makubwa anaweza kufanya kazi kwa bidii zaidi ya mwanamke ambaye hana makalio makubwa.
Hata hivyo kinachowavutia wanaume si makalio haswa bali ni kupinda kwa uti wa mgongo unaosababisha tako kuonekana zaidi.
Kim Kardashian
Utafiti huo unasema kuwa upinde wa 45.5 ndio unaovutia wanaume zaidi.
Wanaume walioneshwa picha za makalio ya wanawake wengi na asilimia kubwa iliwapendelea wanawake wenye makalio yaliyopinda kwa kiwango cha 45.5
Aidha zaidi ya asilimia 30% walisema wangalimchukua mwanamke mwenye makalio makubwa zaidi ya yule waliye naye sasa.
Kwa mujibu wa utafiti huo katika miaka ya awali mwanamke aliyeonekana kuwa na makalio makubwa alipendelewa kutokana na uwezo wake wa kubeba mizigo mgongoni.
Isitoshe mwanamke kama huyo aliwavutia wanaume wengi na hivyo kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi.
Aidha mwanamke mwenye makalio makubwa angeweza kustahili uzito wa mtoto aliyebebwa tumboni na hata kustahilimi makali ya uzazi kuliko wale wenye makalio wastani.



SHARE SHARE SHARE

About MWAYANGASPORTS

RELATED POSTS

0 comments :

Post a Comment

Newer Post Older Post Home

Popular Posts

  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 4
    INAENDELEA HAPA: Mwalimu KABAVAKO aliwachapa kila mmoja fimbo nne nne, kisha akawarudisha ofisini kwa mwalimu mkuu walipofika ofisini...
  • Anataka kunifanya usiku mzima, kwasababu nina matako mkubwa na mapaja mkubwa, matiti madogo
      Mimi nina rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki baada ya kuajiriwa siku moja hapa jijini!  Kwa kweli, bila hata kumaliza mwenzi mmoj...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 2
    INAENDELEA HAPA: Baada ya JENIFER na wenzake kukamatwa na mwalimu na kupewa adhabu hiyo ya kwenda na wazazi wao shuleni siku ya Ijuma...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 1
    AMANI MIE UKAHABA SASA BASI ni Hadithi inayomuhusu binti wa kitanzania alietunukiwa uzuri wa asili na mvuto wa kipekee aliojaaliwa na...
  • Ofisa wa IKULU Ahojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma......Adai Hajui Sababu za Rugemalila Kumpatia Mamilioni
        Mnikulu Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rug...
  • No More Twerking!!, Tanzania Bans The Provocative Dance
        “This sounds like violation of human rights? You have a bum but you can’t put it in use!! Why?? You will provoke weak men to rape...
  • After losing her son and her long time lover, JULIANA KANYOMOZI is now dating this celeb
    There is a rumour going round Uganda’s showbiz circles that former TPF judge, Juliana Kanyomozi, has finally found love just a f...
  • NEVER marry a SECRETARY
    Secretaries play an imperative role in any organisation. They are responsible for the smooth running of the secretarial and clerical...
  • Picha: Kweli Hakuna Mtu Mwembamba Duniani...Mcheki Hapa JB Alivyokuwa Zamani na Alivyo Kwa sasa
    Ule usemi  wa kuwa hakuna mtu mwembamba umejidhuhilisha hapa kwa Staa huyu  wa Bongo Movies, Jacob Stephen “ JB”.     H...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 5
    INAENDELEA HAPA: Baada ya kuvutana sana kati ya Mwalimu mkuu na Mr. Brown ofisini ikabidi mwalimu mkuu akubali kuwa mpole na kurudish...
Copyright © 2015 UTAMU WA PILIPLI HOHO
Follow via Facebook Follow via Twitter Follow via Google Follow via Pinterest Follow via Youtube Follow via RSS