UTAMU WA PILIPLI HOHO

  • Home
  • HABARI
  • WASANII
  • SPORTS
    • FOOTBALL
    • MPIRA WA MIGUU
    • BASKETBALL
  • LOVE
    • LOVE
    • MAPENZI
  • SIASA
  • GOSSIP
  • Download This Template
Home » MAPENZI » TAZAMA kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa

TAZAMA kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa

Written By MWAYANGASPORTS on Monday, 2 March 2015 | 14:02



Je wajua kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa ?
Katika majarida mengi umewaona wanaume wakikodolea macho picha za wanawake wenye makalio makubwa iwe ni kim Kardashian, Jenipher Lopez Nicki Minaj na Vera Sidika kutoka Kenya .
Sasa basi Utafiti umedhibitisha kuwa ni kweli wanaume wanapenda wanawake waliojaaliwa sehemu ya nyuma.
Kulingana na utafiti wa chuo kikuu Bilkent , chuo kikuu cha Texas, na chuo kikuu cha American University kilichoko mjini Beirut
Wanaume wanakisia kuwa mwanamke mwenye makalio makubwa anaweza kufanya kazi kwa bidii zaidi ya mwanamke ambaye hana makalio makubwa.
Hata hivyo kinachowavutia wanaume si makalio haswa bali ni kupinda kwa uti wa mgongo unaosababisha tako kuonekana zaidi.
Kim Kardashian
Utafiti huo unasema kuwa upinde wa 45.5 ndio unaovutia wanaume zaidi.
Wanaume walioneshwa picha za makalio ya wanawake wengi na asilimia kubwa iliwapendelea wanawake wenye makalio yaliyopinda kwa kiwango cha 45.5
Aidha zaidi ya asilimia 30% walisema wangalimchukua mwanamke mwenye makalio makubwa zaidi ya yule waliye naye sasa.
Kwa mujibu wa utafiti huo katika miaka ya awali mwanamke aliyeonekana kuwa na makalio makubwa alipendelewa kutokana na uwezo wake wa kubeba mizigo mgongoni.
Isitoshe mwanamke kama huyo aliwavutia wanaume wengi na hivyo kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi.
Aidha mwanamke mwenye makalio makubwa angeweza kustahili uzito wa mtoto aliyebebwa tumboni na hata kustahilimi makali ya uzazi kuliko wale wenye makalio wastani.



SHARE SHARE SHARE

About MWAYANGASPORTS

RELATED POSTS


JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART...

JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART...

0 comments :

Post a Comment

Newer Post Older Post Home

Popular Posts

  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 4
    INAENDELEA HAPA: Mwalimu KABAVAKO aliwachapa kila mmoja fimbo nne nne, kisha akawarudisha ofisini kwa mwalimu mkuu walipofika ofisini...
  • Anataka kunifanya usiku mzima, kwasababu nina matako mkubwa na mapaja mkubwa, matiti madogo
      Mimi nina rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki baada ya kuajiriwa siku moja hapa jijini!  Kwa kweli, bila hata kumaliza mwenzi mmoj...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 2
    INAENDELEA HAPA: Baada ya JENIFER na wenzake kukamatwa na mwalimu na kupewa adhabu hiyo ya kwenda na wazazi wao shuleni siku ya Ijuma...
  • No More Twerking!!, Tanzania Bans The Provocative Dance
        “This sounds like violation of human rights? You have a bum but you can’t put it in use!! Why?? You will provoke weak men to rape...
  • Ofisa wa IKULU Ahojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma......Adai Hajui Sababu za Rugemalila Kumpatia Mamilioni
        Mnikulu Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rug...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 1
    AMANI MIE UKAHABA SASA BASI ni Hadithi inayomuhusu binti wa kitanzania alietunukiwa uzuri wa asili na mvuto wa kipekee aliojaaliwa na...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 5
    INAENDELEA HAPA: Baada ya kuvutana sana kati ya Mwalimu mkuu na Mr. Brown ofisini ikabidi mwalimu mkuu akubali kuwa mpole na kurudish...
  • Imagine This Lady is a Teacher, What if you were a Student?
  • Picha za Uchi za Mume Wa Mtu Akiwa na Mchepuko Wake Zavuja na Kusambaa Mtandaoni
      Kaloli  Dawa ambaye ni mume wa mtu, amedaiwa kujipiga picha za utupu akiwa na mchepuko wake uliofahamika kwa jina moja la Irene kish...
  • JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 3
    INAENDELEA HAPA: Ilipofika kesho yake asubuhi siku ya Ijumaa tatu JENIFER na baba yake Mr. Brown walifunga safari mpaka shule, walipo...
Copyright © 2015 UTAMU WA PILIPLI HOHO
Follow via Facebook Follow via Twitter Follow via Google Follow via Pinterest Follow via Youtube Follow via RSS